SIYO PESA PEKEE ZINAZOKUFANYA UWE MWEKEZAJI, NI MISINGI.

Image
  SIYO PESA PEKEE ZINAZOKUFANYA UWE MWEKEZAJI, NI  MISINGI. Watu wengi wanapofikiria UWEKEZAJI, jambo la kwanza linalokuja akilini mwao ni pesa nyingi. Ndiyo maana wengine husema, “Nikishapata pesa nyingi ndipo nitaanza KUWEKEZA.”. Lakini ukweli ni tofauti kidogo. Uwekezaji wa kweli hauanzi na pesa nyingi. Unaanza na MISINGI sahihi ya KIFEDHA. Watu wengi hupata na kuzalisha pesa siyo tatizo kwao, lakini hawajengi utajiri. Kwa nini? Kwa sababu hawajajifunza misingi ya kuitunza na kuikuza. Kila kitu kina misingi na kanuni zake. Kabla ya kufikiria uwekezaji mkubwa, jifunze kwanza mambo machache ya msingi. Jifunze kuishi chini ya kipato chako. Jifunze kuokoa hata kama ni kidogo. Jifunze kupanga matumizi yako. Na jifunze kuwa na subira. Kwa sababu uwekezaji si mbio za haraka. Ni safari ya uvumilivu. Ni kama kupanda mti. Unapanda mbegu leo. Unaimwagilia kila siku. Unaipa muda ikue. Halafu baada ya muda, inaanza kutoa kivuli  na baadaye matunda. Tatizo la wen...

THANK DIFFERENT (FIKIRI TOFAUTI).

 


*THINK DIFFERENT"  (FIKIRI TOFAUTI)* .

Ilikuwa kampeni kali na ya kuvutia iliyozinduliwa na Apple Computer ( Apple ) mnamo 1997.

Kama ulikuwa umezaliwa tupungianeđź«·

Ilidumu kwa miaka kadhaa na bado inachukua hatamu katika historia ya uuzaji na utangazaji. 

Think Different"  ilikuwa na mafanikio makubwa.

Ilisaidia Apple kujionyesha kama chapa kwa ajili ya watu wenye *UBUNIFU,* na wanaofikiri tofauti. kampuni iliyounga mkono ubunifu na kutofuatana na desturi za kawaida.

Kampeni hiyo haikuzidisha mauzo tu bali pia ili kuza picha ya Apple kama chapa nzuri na inayotamaniwa na wengi.

Hata wewe ni shahidi tukizungumza kuhusu, apple na huduma zake.

" *Think Different"*  ni zaidi ya maneno tu; ni *FALSAFA.* kali.

"Ni kuhusu umuhimu wa
kufikiri bila kutegemea Mwawzo ya wengine, kupinga hali ilivyo, na kuamini kuwa watu binafsi wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana duniani."

Rudia kusoma tena.

Ndugu, kufikiri tofauti ni chanzo cha mabadiliko makubwa hapa duniani.

Pengine upo ulipo sasa, jinsi ulivyo, kipato unachokipata, matokeo unayoyapata ni kwa sababu ya *UNAVYO FIKIRI.*

Niyo kwasababu ya fikira zako.

Kama tunavyofahamu Kuna mawazo fulani fulani ulikuwa nayo ndiyo yalikufikisha ulipo.

Hautaenda unakotaka kwenda, kwasababu ya vile ulivyofanya, bali ni vile utakavyofanya. Yaani, fikira tofauti kabisaa.

Tafadhali soma tena.

Ndiyo maana bwana Enstern aliwahi kusema, "hauwezi kupata matokeo unayoyataka kwa fikira zilezile zilizo kufanya upate matokeo hayo."

Ndugu utahitaji fikira tofauti.

Tuna pata fikira tofauti kwa kufanya mambo Kama

1. *Kujifunza vitu vipya*


Moja ya tofauti kubwa ya watu waliofanikiwa na watu wa kawaida ni kwamba, watu waliofanikiwa *wanatabia ya kujifunza bila kukoma*

Yes kujifunza.

Sasa wanajifunza nini na wanajifunzaje?

Simple, Wanajifunza vitu vipya kuhusu vitu, walivyovichagua, wanavyovipenda, mhimu kwao n.k.

Na wanafanya hivyo kwa;
1. kusoma vitabu, yaani kujisomea.

2. Kuhuzuria seminar, mara ya mwisho kwenda seminar unakumbuka Ilikuwa lini? Na ulifata nini?


      
       Hudhuria seminar hadi uone matokeo unayo yataka yameanza kuja.

3. Kuangalia video za maana na kusikiliza mafundisho kuntu.

Hii ni moja ya njia muhimu kati ya nyingi zitakazo kufanya ujifunze kila siku na kufikiri tofauti.

Ukweli ni kwamba zipo njia nyingi sana, ambazo ningependa ujifunze na wewe.

Muda ni mchache kuyaelezea yote haya.

Lakini kama utataka kujifunza njia nyingine kibao. Naweza kikusaidia.

Kupata hizo bonyeza Link hapo chini.

Bonyeza hapa kujifunza zaidi.

Migongo Elias.

Add Value Network.

GeT tO tHe NeXt LeVeL.

+255767653697.

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.