Posts

Showing posts from June, 2023

KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA.

Image
  KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA. Katika ulimwengu wa uwekezaji, kuna maeneo mengi ambayo watu huwekeza fedha zao wakitegemea kupata faida hapo baadaye. Lakini kati ya maeneo yaliyodumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwajengea watu utajiri kizazi hadi kizazi, basi Mali Isiyohamishika (Real Estate) hauwezi kuacha kuitaja ni mojawapo ya uwekezaji wenye nguvu zaidi kwa hii dunia boss. Huu ni uwekezaji unaohusisha: Ardhi, Viwanja, Mashamba, Nyumba za kupanga, Majengo ya biashara commercial buildings. Kwa lugha rahisi ndugu,  ni kuwekeza pesa zako  kwenye mali ambazo haziwezi kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine boss. Inshort huu ni Uwekezaji wa Thamani Unaokua Taratibu Lakini Kwa Nguvu kubwa sana boss. Na ukweli ambao utakubwliana na mimi  ni huu: 👉 Dunia inaweza kubadilika, teknolojia zinaweza kubadilika, lakini ardhi itaendelea kuwa na thamani enzi na enzi boss. Hapa ndipo utaweza uliza swali hili, KWANINI WATU WEN...

SIMULIZI YA KUSISIMUA KUHUSU “HATIMA YA KIMUNGU”. >>SEHEMU YA TATU.

Image
  SIMULIZI YA KUSISIMUA KUHUSU “HATIMA YA KIMUNGU”. >>SEHEMU YA TATU.   Ilipoishia....,.. Editrin baada ya kutulia alimsimulia kisa kizima mama yake tangu alipotoroka kwao, hadi kufikia hapa alipo na namna amba v yo El vine alivyopotea. Eliana alionesha kuumia sana kwani kwa namna nyingine tunaweza kusema yeye ndi y e aliyekuwa bibi wa mtoto yule. Wakiwa wanaendelea na mazung u mzo y ale Editrin akaanza kukumbuka kisa chote kilichomkuta kwenye maisha yake hata kupelekea yeye kutoroka kwao Dar es salaam na kuamua kuja kuishi Iringa.......   Kama hujasoma sehemu ya kwanza na ya pili bonyeza hapa. Sasa inaendelea...,.... Editrin alizaliwa Katika familia ya kitajiri sana. Baba yake alikuwa akiitwa Mr. Edward na mama yake aliitwa Eliana . Katika familia yao walizaliwa watoto wawili tu! ambao ni Editrin na Edger. T angu utoto wao walipendwa sana na wazazi wao wote wawili. Editrin na k aka yake Edger hawakuwahi kuyajua maisha ya shida ma an a baba yako ali...

JIFUNZE KUJIFUNZA (PART 1)

Image
JIFUNZE KUJIFUNZA (PART 1) Siku moja nikawa nimetulia natafakari   nikawaza na kuwazua kuhusu binadamu. Nikaona kuwa ni kawaida kabisa kwa binadamu yeyote kuzaliwa, kulelewa, kwenda shule au kutokwenda kabisa, kuoa/kuolewa wakati mwingine kutokuoa/kuolewa kabisa, kufanya kazi, kuzeeka na hata kufa. Lakini unaweza kufa hata kabla ya wakati wa kuzeeka kwako. Nikagundua kuwa katikati ya utoto na uzee/ kifo. Mwanadamu huyu atajikuta amefahamu vitu vingi sana. Aidha kwa kujifunza mwenyewe kwa kuona kusikia au kwa njia yeyote ile, au kwa kufundishwa na watu wengine nyumbani au kwa kwenda shule. Kwa kifupi   tumejifunza au tumefundishwa mambo kemkemu. Ukienda shule za St. Kayumba utafundishwa habari ya 3K   yaani, kusoma, kuandika, na kuhesabu. Na, ukibahatika ukapanda magari ya njano utafundishwa kuhusu, 3R s yaani, Reading, wRiting, and aRithmetic. Hata kwa wale hawakukanyaga kabisa umande wa asubuhi nao wamejikuta wamejifunza vitu vingi sana huko nyumbani na mtaani pia. ...

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29