TABIA 10 NDOGO ZINAZOFICHUA AKILI NA HADHI YA MTU.
TABIA 10 NDOGO ZINAZOFICHUA AKILI NA HADHI YA MTU. 1. USIMPIGIE MTU SIMU ZAIDI YA MARA MBILI MFULULIZO. S aikolojia inasema, Simu moja ni ujumbe. Simu mbili ni heshima. Simu tatu na zaidi ni shinikizo. Ukishapiga mara mbili na hakujibu, ujumbe umeshafika. Amechagua kutokujibu kwa sababu zake. Pengine yuko mbali na simu, mazingira siyo rafiki, au yuko bize. Usi assume na kujipa majibu ya moja kwa moja huwezi jua boss. Hivyo, subiri hadi Mtu mwenye akitafute boss. Ukiona kimya baada ya siku kadhaa kama unaissue muhimu mrudie tena ikiwezekana mtumie ujumbe wa maneno texts. 2. REJESHA ULICHOKOPA/KUAZIMA, BILA KUKUMBUSHWA. Boss vitu kama, Pesa, kalamu, kitabu, mwamvuri, ukubwa wake hauhusiki. Kinachohusika ni tabia yako boss. Mtu anayekukumbusha deni anakuonyesha kitu kimoja tu, hukustahili KUAMINIWA basi tu ni vile mistake ilifanyika. Kuepuka hayo. Rejesha mapema, rejesha kwa hiari, rejesha ukiwa bado unakumbuka. Hapo ndipo uadilifu na uaminifu wako unaonekana t...