MAWAZO YAKO SIYO WEWE.
MAWAZO YAKO SIYO WEWE. Hebu, Kaa kimya kidogo ujiulize na mimi, Ni mara ngapi umejisikia vibaya si kwa sababu ya kile kilichotokea, bali kwa sababu ya kile akili yako ilikuambia? Yaani, Nimefeli, Watanicheka, Mimi sifai wakati mwingine unajiambia ushindi n.k Siyo wewe pekee yako, sauti hii ipo kwa kila mtu. Lakini hapa ndipo watu wengi wanakosea: Wanadhani hiyo sauti ni WAO. 📘 Kutoka kwenye The Untethered Soul, kuna ukweli mmoja rahisi lakini wenye nguvu: 👉 Kama unaweza kusikia mawazo yako, basi wewe si hayo mawazo. Hii inamaanisha kuwa, kuna vitu viwili ndani yako: 1. Mawazo —hii ni nishati inayozunguka huku nakule, na yanakuja na kuondoka kila wakati hayakae kwako milele. 2. Wewe — unayeyaona hayo mawazo 👉 Wewe ni “mtazamaji/observer”, si hiyo “sauti” Hebu Fikiria hivi: Akili yako ni kama redio 📻 inayoongea bila kupumnzika(nonstop). Wakati mwingine inasema ukweli, lakini mara nyingi: inaogopa, na mawazo yako yanacomment kila kitu, yanadrama etc. in...