LEVEL ZA MAFANIKIO SEHEMU YA TATU.
LEVEL ZA MAFANIKIO SEHEMU YA TATU. Baada ya kupitia: Hatua ya Utumwa (kuuza muda ku-survive au kujikimu) Hatua ya Kujiajiri (kujitegemea kwa ujuzi wako) Sasa kuna watu wachache wanaofika hapa na kugundua ukweli mkubwa na watofauti kidogo: “Siwezi kukua kwa kufanya kila kitu mwenyewe lazima nijenge mfumo kwani ntachoka sana ma sitapatq matokea makubwa.” Kusoma sehemu ya pili bonyeza hapa Kutokea hapo ndipo wanapanda kwenda hatua ya tatu sasa boss wangu, ambayo ni: BUSINESS OWNER LEVEL HII NI LEVEL YA KUJENGA MFUMO WAKO MWENYEWE. Hapa hutengenezi tu kipato boss. Hapa boss, Unakuwa na watu na unajenga mfumo wa kuzalisha kipato chako ndugu. Tofauti kubwa ni hii: Kwenye self-employed → unafanya kazi ili upate pesa. Business owner → mfumo pamojabna watu wanafanya kazi ili uzalishe pesa wewe. DALILI KWAMBA UPO LEVEL HII Una timu au watu wanaokusaidia. Kuna kazi zinafanyika hata bila wewe kuwepo. Biashara ina structure (mfumo) ambao unajiendesha wenyewe....