KAMA UNASAHAU MARA KWA MARA, SOMA HAPA KWANZA.

Image
  KAMA UNASAHAU MARA KWA MARA, SOMA HAPA KWANZA. Boss! Siyo  kila mara, kusahau ni ishara ya Ubongo dhaifu, mara nyingi ni namna tunavyojifunza ndugu. Nimekutana na watu wengi wakisema: "Mimi sina akili kubwa." Wengine "Kumbukumbu yangu ni mbaya." Mara "Ubongo wangu hauhifadhi vitu." Lakini ukweli ni kwamba, mara nyingi tatizo si ukubwa wa akili yako wala uwezo wa ubongo wako. Tatizo ni kwamba watu wengi hawajawahi kufundishwa jinsi kumbukumbu (memory) inavyofanya kazi boss. Sikia ndugu; Ubongo wa binadamu umeumbwa kwa ustadi mkubwa. Kazi yake si kuhifadhi kila kitu unachokiona au kukisikia, bali ni kuchagua filtering taarifa muhimu na kuacha zisizo muhimu wala matumizi. Kwa hiyo, kusahau si kasoro ya ubongo ni sehemu ya kawaida ya jinsi unavyofanya kazi. Hebu tuangalie sababu kuu zinazowafanya watu kusahau mara kwa mara. 1. Kukariri Bila Kuelewa (memorising without understanding). Hili ndilo kosa kubwa zaidi ambalo wanafunzi na hata watu wazima...

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

 


UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

First let me thanks GOD for giving me a unique chance to pass through this chapter by starting down to describe and express my internal feelings and emotional ideas down hereπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”Kwa  Uchambuzi wa Kina ,, “Hatima ya Kimungu Sehemu ya 27”


1. Nafasi ya Maombi Katika Mapambano ya Kiroho

Maombi ya Elimina yanapokea uzito mkubwa katika sehemu hii. Anaomba kwa imani na mamlaka, akituma moto na upanga kutoka mbinguni. Sauti yake inamfikia Elvine aliyepo mtini, ishara ya kuwa maombi ya dhati yanaweza kuvunja minyororo ya kiroho.

πŸ‘­MESEJI; SIKU ZOTE IMANI , rafiki Yako , ndugu Yako ama  mpenzi wako n.k inaweza kukutoa Kwenye jaribu usilo lijua kabisa


HOJA YA PILI

Mti wa Miujiza – Alama ya Njia ya Wokovu

Mtini alipo Elvine, ambao hapo awali haukuwa na tunda wala uhai, sasa umechanua maembe na kuonekana kuwa na mwanga wa kipekee. Huu ni mti wa nuruni, unaosimamia neema ya Mungu na njia ya wokovu kwa Elvine.

1 Wakorintho 10:13 Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.


HOJA YA TATU NA YA MWISHO Mgongano wa Ufalme wa Giza na Mwanga

Efraimu na Erijini, wakiwa sehemu ya himaya ya giza, wanapambana na kitu ambacho hakiwezi kueleweka kwa uchawi wao: mti wa nuru. Erijini anajaa hasira, akitesa mlinzi wa mazingira (nyoka), ambaye baadaye anageuka kuwa mtoto – ishara ya hatia kwa hila dhidi ya neema.


4. Mateso ya Elimina – Kipimo cha Uvumilivu

Sehemu ya pili ya simulizi inauma sana: Edgar, mjomba wa Elvine, anamgeukia Elimina, si tu kimwili bali pia kisaikolojia. Anampiga, anamfedhehesha na kumuacha na uchungu wa uzazi bila msaada wowote.


MASWALI  binafsi nimejiuliza kuwa by  MR DANIEL EMANUEL NGASA I JUST thinking twice by twice!!πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Je, ni kwa nini Edgar anachukia kiasi hiki?

Kwa nini anaficha ukweli kuhusu Elvine?


Je, anahusiana vipi na nguvu za giza?

🧠A LESSON AND GREAT FIGURES Katika Sehemu hii ni kuwa;


✅ Imani ya Kweli Huzaa Matunda

Mti wa miujiza umezaa maembe pale ambapo hapakutarajiwa, kama Elvine mwenyewe ambaye anaanza kuona mwanga baada ya giza refu la mateso.


✅ Uovu Hauna Huruma, Lakini Mungu Ana Mpango

HAKIKA HII KUWA 

Edgar ni mfano wa uovu wa mwanadamu unaoshirikiana na nguvu za giza, lakini hata katika hilo, Mungu bado anaandaa njia ya wokovu kwa Elimina na mtoto wake.


✅ Maombi Yaweza Badili Hatima

Amini na Amini 

Sauti ya Elimina ilimfikia Elvine alikokuwa; hii ni dalili kuwa nguvu ya maombi ni ya kweli na ya haraka sana, hata ikilinganishwa na nguvu ya kichawi.

Yeah a prayer is a greatest thing even to pass in difficult situation but if tie down to GOD YOU WILL BECOME A VICTORY 

πŸ“Œ i just imagine Kwenye chapter  28, 3 Questions 

1. Je, Elvine ataweza kushuka kutoka kwenye mti wa miujiza na kurudi kwa Elimina?

2. Mungu atatuma msaada kwa Elimina wakati huu mgumu?

3. Je, mtoto aliyegeuka kutoka kwa nyoka ana nafasi gani kwenye simulizi hili?

5. Je, Erijini atakubali kushindwa au ataendelea na vita vya kiroho?

☝️☝️☝️

✍️ NOTE BENE:STILL BLESSED AND BE POSITIVE WHATEVER NOT THINK WHAT HAPPENED TO YOU 

Ni Mimi msomaji wako DANIEL EMANUEL NGASA na mwandishi Wa vitabu na simulizi.

Kusoma sehemu ya 27 bonyeza hapa

Hadithi  hii imendaliwa na kuandikwa na JACQUELINE JOHN.

Mtunzi wa Hadithi (simulizi) .

 Mawasiliano:

Whatsapno. >>>>> +255789523850. Normal >>>>>+255747313148.

                            &, 

Imehaririwa na MIGONGO ELIAS. Mhariri.

Mawasiliano:

Whatsapno. >>>>> +255767653697. Normal >>>>>+255617653697.

Tu follow kwenye.

Facebook page>>> Add Value Network.

                        GeT tO tHe NeXt LeVeL!

Kama umejifunza kitu shiriki nasi katika comment hapo chini, ili kuboresha na kujifunza zaidi.





Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31