Posts

Showing posts from September, 2024

KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA.

Image
  KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA. Katika ulimwengu wa uwekezaji, kuna maeneo mengi ambayo watu huwekeza fedha zao wakitegemea kupata faida hapo baadaye. Lakini kati ya maeneo yaliyodumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwajengea watu utajiri kizazi hadi kizazi, basi Mali Isiyohamishika (Real Estate) hauwezi kuacha kuitaja ni mojawapo ya uwekezaji wenye nguvu zaidi kwa hii dunia boss. Huu ni uwekezaji unaohusisha: Ardhi, Viwanja, Mashamba, Nyumba za kupanga, Majengo ya biashara commercial buildings. Kwa lugha rahisi ndugu,  ni kuwekeza pesa zako  kwenye mali ambazo haziwezi kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine boss. Inshort huu ni Uwekezaji wa Thamani Unaokua Taratibu Lakini Kwa Nguvu kubwa sana boss. Na ukweli ambao utakubwliana na mimi  ni huu: 👉 Dunia inaweza kubadilika, teknolojia zinaweza kubadilika, lakini ardhi itaendelea kuwa na thamani enzi na enzi boss. Hapa ndipo utaweza uliza swali hili, KWANINI WATU WEN...

MAAJABU YA AKIBA

Image
MAAJABU YA AKIBA Akiba (saving) ni kiasi cha fedha au rasilimali ambacho kimewekwa kwa matumizi ya baadaye, hata sasa kingeweza kutumika lakini umuhimu wake kwa kutumika baadaye ni mkubwa kuliko matumizi yake ya sasa. Hata katika biblia ``Mwanzo 41:35-36`` kama umewahi soma utaona Farao baada ya kutafsiriwa ndoto yake na kufahamu kuwa, imempasa kuweka akiba alilifanya hilo kwa uharaka ili kuhakikisha linaendelea vizuri ndio akamweka Yusufu kama msimamizi wa hili. Farao aliona kabisa kuwa nidhamu yake ya kujiwekea akiba haipo sawa hivo alihitaji msaidizi wa kumsaidia kama yeye alivyokuwa ndivyo tulivyo baadhi yetu siku za leo hatuwezi kujiwekea akiba ya vile tulivyo navyo. yaani huwa tunapenda kusema kesho itajisumbukia yenyewe,  Hata hivyo tangu zamani hata leo mataifa mbalimbali yamekuwa yakijiwekea akiba kwa manufaa na matumizi ya baadaye. Ukiangalia nabii Samweli alikuwa akijiwekea akiba na aliitoa pale Sauli alipomtembelea wakaila ile akiba ya chakula. Ni muhimu kujiw...

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29