Posts

Showing posts from March, 2024

KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA.

Image
  KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA. Katika ulimwengu wa uwekezaji, kuna maeneo mengi ambayo watu huwekeza fedha zao wakitegemea kupata faida hapo baadaye. Lakini kati ya maeneo yaliyodumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwajengea watu utajiri kizazi hadi kizazi, basi Mali Isiyohamishika (Real Estate) hauwezi kuacha kuitaja ni mojawapo ya uwekezaji wenye nguvu zaidi kwa hii dunia boss. Huu ni uwekezaji unaohusisha: Ardhi, Viwanja, Mashamba, Nyumba za kupanga, Majengo ya biashara commercial buildings. Kwa lugha rahisi ndugu,  ni kuwekeza pesa zako  kwenye mali ambazo haziwezi kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine boss. Inshort huu ni Uwekezaji wa Thamani Unaokua Taratibu Lakini Kwa Nguvu kubwa sana boss. Na ukweli ambao utakubwliana na mimi  ni huu: 👉 Dunia inaweza kubadilika, teknolojia zinaweza kubadilika, lakini ardhi itaendelea kuwa na thamani enzi na enzi boss. Hapa ndipo utaweza uliza swali hili, KWANINI WATU WEN...

SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”. SEHEMU YA 17.

Image
HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA KUMI NA SABA Ilipoishia.... Siku moja akiwa amelala aliota moto mkubwa unawaka ndani ya maji lakini ule moto ni kama unaofifia kwa kuzidiwa na yale maji. Alipoamka akaikumbuka ndoto aliyowahi kuota utotoni ikamkumbusha kuwa hatakiwi kuzima namna hiyo na akajikuta kakumbuka sana vile viusumbufu vya kivita na maadui. Lakini hakujua kumbe kuna bomu kubwa kaandaliwa.....  Kusoma sehemu ya 16 bonyeza hapa. *.   *.    *.   *.    *.    *.   *.  Elvine alikuwa ameketi juu ya mti katikati ya poli fulani akiwa na amani sana. Akiwa pale aliweza kuona umbali mrefu sana. Alishangaa baada ya kumuona mtoto wa kiume mwenye umri kama wa miaka 7 hivi anazunguka zunguka mule polini. Akacheka sana halafu akasema "Kuna vitoto vya ajabu Duniani jamani. Sasa angalia huyu mtoto anataka nini huku polini muda huu?" Akatabasamu akachuma embe lililoiva kwenye ule mti na kuanza kulila. Yule  mtoto alikuwa akijiimb...

SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”. SEHEMU YA 16.

Image
  SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”.   SEHEMU YA 16.  Ilipoishia.....      Sherehe zilianza na watu wengi sana walikuja tena wachungaji walikuwa wengi sana. Elvine alifurahi baada ya kumuona baba yake na mama yake wamekuja tena wakiwa wazima wa afya. Elvine pamoja na kufurahi lakini bado alikuwa na wasiwasi  k usoma sehemu iliyopita bonyeza hapa. Sasa inaendelea.... Alitazama Elimina namna alivyopenda akasema kimoyomoyo 'hakika malkia wangu usife mapema bado natamani kuona ulipendeza hivihivi daima'. Wakaingia kanisani ambapo aliyesimamia ibada ya send-off alikuwa ni mchungaji wa kanisa jilani. Lakini Elvine alikuwa na wasiwasi sana na yule mchungaji maana tangu alipofika alikuwa hawatazami watu usoni bali mda mwingi alitazama chini kama anayetunza sheria za familia.  Elvine hakutaka kujaji saana lakini kuna namna alimkazia macho sana yule mchungaji maana kwa mauzauza tu yanayomuwinda aliona ni lazima amchunguze kila mtu ana...

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29