Posts

Showing posts from September, 2023

KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA.

Image
  KAMA UNATAKA UHURU WA KIFEDHA, ANZA KUWEKEZA HAPA KABLA HUJACHELEWA. Katika ulimwengu wa uwekezaji, kuna maeneo mengi ambayo watu huwekeza fedha zao wakitegemea kupata faida hapo baadaye. Lakini kati ya maeneo yaliyodumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwajengea watu utajiri kizazi hadi kizazi, basi Mali Isiyohamishika (Real Estate) hauwezi kuacha kuitaja ni mojawapo ya uwekezaji wenye nguvu zaidi kwa hii dunia boss. Huu ni uwekezaji unaohusisha: Ardhi, Viwanja, Mashamba, Nyumba za kupanga, Majengo ya biashara commercial buildings. Kwa lugha rahisi ndugu,  ni kuwekeza pesa zako  kwenye mali ambazo haziwezi kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine boss. Inshort huu ni Uwekezaji wa Thamani Unaokua Taratibu Lakini Kwa Nguvu kubwa sana boss. Na ukweli ambao utakubwliana na mimi  ni huu: 👉 Dunia inaweza kubadilika, teknolojia zinaweza kubadilika, lakini ardhi itaendelea kuwa na thamani enzi na enzi boss. Hapa ndipo utaweza uliza swali hili, KWANINI WATU WEN...

SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”. SEHEMU YA KUMI NA TANO.

Image
SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”.   SEHEMU YA KUMI NA TANO.  Ilipoishia... Usisogee maana hapo unaposogea ndipo nataka kudondokea kwahiyo pishaaa!!" Kabla hajayatafakari yale maneno yule mtu alijiachia makusudi kabisa na kujitupa chini. Elvine alishangaa zaidi. Alitaka kusogea ili akatoe msaada lakini yule mtu ghafla alipotea.         Elvine alipata hofu zaidi. Akakimbia mpaka chumbani kwake na akajihisi kabisa hadi ile kiu imekata. Lakini alipofika chumbani kwake alipigwa na butwaa kwa kile alichokuwa anakiona mbele yake na wala hakuamini kwa haraka.... Kusoma sehemu ya 14 bonyeza hapa Inaendelea...     Alipotazama kitandani kwake alimuona kijana yule aliyekuwa kaanguka mchana na ndiye aliyemuona kajiangusha muda sio mrefu kutoka kwenye ngazi tena akiwa anacheka sana.       "Kumbe ni wewe? Unajua nilikuwa najiuliza sana kuwa ni kijana yupi ambaye anakaa hapa na anauwezo wa kufanya mambo makubwa. Kwakwel...

SIMULIZI YA KUFURAHISHA, “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”. SEHEMU YA KUMI NA TATU.

Image
  SIMULIZI YA KUFURAHISHA,   “KUHUSU HATIMA YA KIMUNGU”. SEHEMU YA KUMI NA TATU.     Ilipoishia..   Aligundua kuwa kumbe Elimina anamachungu sana moyoni mwake. Aliacha kumfokea na kuanza kumwomba msamaha huku akitamani kujua tatizo ni nini hasa. Wakati akiwa anambembeleza alikaa pembeni ya Elimina kwenye sofa huku akisema samahani. Ghafla mama aliingia na kushangaa kwa kile alichokiona "Nyie watoto ni upuuzi gani mnafanya hapo?....." kusoma sehemu ya kumi na mbili bofya hapa   Sasa inaendelea....   Elvine hawakujua wamjibi nini maana walijua kabisa mama atakuwa kaelewa kwa tofauti sana.     "Samahani mama sio kama unavyofikiria. Ni kwamba Elimina hajisikii vizuri. Na alikuwa akilia na mimi sijui shida ni nini na ndio maana nilitaka aniambie" Elvine alijaribu kujitetea       "Jiandaeni kwaajili ya kikao cha familia akija baba yenu" mama aliongea kwa mkato kisha akaondoka na kuelekea chumbani. ...

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29