Posts

Showing posts from August, 2024

HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31

Image
  HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31 Ilipoishia………. Elvine alipoteza amani kuliko hata mkewe maana kila alipomtazama mkewe basi moyo wake ni kama ulikuwa unachomwa na mwiba uliojishikiza huko kwenye mishipa ya moyo. Nafsi yake ilitaabika na ndipo alipoamua kutafuta muda mzuri, baada ya chakula cha jioni, azungumze na mkewe, maana ule ukimya wa siku mbili ulikuwa adhabu kubwa sana kwake. Kusoma sehemu ya 30 bonyeza hapa Sasa inaendelea………. Elimina mamy naomba kujua kwanini hutaki kuniuliza kuhusu sababu ya haya yote? Maana najua unajua kuwa kuna mahali mimi nilikosea, sasa unapokaa kimya hivyo… kiukweli unazidi kunichanganya maana ni kama hutaki kujua, sasa unadhani mimi roho yangu itatulia kweli?. Hata kama ungekuwa wewe lazima usingepata amani, ungekuwa hata unawaza hivi nakuwaziaje, nakuonaje na ninajisikiaje ninapokuona, sasa kwanini wewe umekaa kimya, sema neno tafadhali? (Elvine alikuwa akiongea bila kumtazama mkewe usoni maana moyo wake haukuwa katika hali ya utulivu). Pamoja na ...

PANDE ZA MAFANIKIO

Image
  PANDE ZA MAFANIKIO Mara nyingi MAFANIKIO huwa ni hitaji la Kila mtu. Na hii huwa imebeba sehemu mbili muhimu. 1. SEHEMU YA KWANZA NI UPANDE WA MBELE( FRONT PART). Sehemu hii huonyesha  jambo hili kuwa ni zuri na ni jambo la kutamanika, kufurahiwa, na mengine kama hayo. Huu unaonekana kwa macho ya nyama. Na watu hujua na kutoa sifa kemukemu. Na huonekana  huleta hamasa, furaha, umaarufu, uhuru, heshima n.k Siku zote watu waliofanikiwa na mafanikio yenyewe huonekana ni easy sana. Na watu hulielezea Kwa urahisi naMSINGI WA NPGUVU YA MAFANIKIO. wa hali ya juu sana.  Utasikia alienda secondary, akaenda chuo akawa bilionea, mara utasikia alianzisha biashara saivi ni mkurugenzi, alikuwa masikini akapewa mtaji saivi ni milionea. Hapa mifano ni mingi sana. 2. SEHEMU YA PILI NI UPANDE WA NYUMA (BACK PART). Upande huu mara nyingi hauonekani haraka. Watu wengi husahau kabisa kuuangalia na kuusemea. Yaani chini ya kapeti namaanisha nyuma ya mafanikio... Rafiki hii ni sehemu ya ...

Popular posts from this blog

MAAJABU YA AKIBA

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.