Posts

Showing posts from August, 2024

MAAJABU YA AKIBA

Image
MAAJABU YA AKIBA Akiba (saving) ni kiasi cha fedha au rasilimali ambacho kimewekwa kwa matumizi ya baadaye, hata sasa kingeweza kutumika lakini umuhimu wake kwa kutumika baadaye ni mkubwa kuliko matumizi yake ya sasa. Hata katika biblia ``Mwanzo 41:35-36`` kama umewahi soma utaona Farao baada ya kutafsiriwa ndoto yake na kufahamu kuwa, imempasa kuweka akiba alilifanya hilo kwa uharaka ili kuhakikisha linaendelea vizuri ndio akamweka Yusufu kama msimamizi wa hili. Farao aliona kabisa kuwa nidhamu yake ya kujiwekea akiba haipo sawa hivo alihitaji msaidizi wa kumsaidia kama yeye alivyokuwa ndivyo tulivyo baadhi yetu siku za leo hatuwezi kujiwekea akiba ya vile tulivyo navyo. yaani huwa tunapenda kusema kesho itajisumbukia yenyewe,  Hata hivyo tangu zamani hata leo mataifa mbalimbali yamekuwa yakijiwekea akiba kwa manufaa na matumizi ya baadaye. Ukiangalia nabii Samweli alikuwa akijiwekea akiba na aliitoa pale Sauli alipomtembelea wakaila ile akiba ya chakula. Ni muhimu kujiw...

PANDE ZA MAFANIKIO

Image
  PANDE ZA MAFANIKIO Mara nyingi MAFANIKIO huwa ni hitaji la Kila mtu. Na hii huwa imebeba sehemu mbili muhimu. 1. SEHEMU YA KWANZA NI UPANDE WA MBELE( FRONT PART). Sehemu hii huonyesha  jambo hili kuwa ni zuri na ni jambo la kutamanika, kufurahiwa, na mengine kama hayo. Huu unaonekana kwa macho ya nyama. Na watu hujua na kutoa sifa kemukemu. Na huonekana  huleta hamasa, furaha, umaarufu, uhuru, heshima n.k Siku zote watu waliofanikiwa na mafanikio yenyewe huonekana ni easy sana. Na watu hulielezea Kwa urahisi naMSINGI WA NPGUVU YA MAFANIKIO. wa hali ya juu sana.  Utasikia alienda secondary, akaenda chuo akawa bilionea, mara utasikia alianzisha biashara saivi ni mkurugenzi, alikuwa masikini akapewa mtaji saivi ni milionea. Hapa mifano ni mingi sana. 2. SEHEMU YA PILI NI UPANDE WA NYUMA (BACK PART). Upande huu mara nyingi hauonekani haraka. Watu wengi husahau kabisa kuuangalia na kuusemea. Yaani chini ya kapeti namaanisha nyuma ya mafanikio... Rafiki hii ni sehemu ya ...

Popular posts from this blog

NJIA 7 ZA KUOSHA UBONGO WAKO.

VITU 9 MUHIMU KWA MTU YEYOTE KUJIFUNZA KWENYE MAHAFALI.

SIRI ILIYOPO NYUMA YA TABASAMU.