Posts

Showing posts from August, 2024

USISAHAU KILICHOKULETA HAPO.

Image
  USISAHAU KILICHOKULETA  HAPO. Kuna makosa mawili makubwa ambayo watu wengi hufanya wanapoanza kuyaona mafanikio yao: wanasahau walikotoka, na wanasahau kilichowafikisha hapo. Haya ni makosa makubwa mawili, ni kesi ya kutokujitambua. Hapo ndipo safari yao huanza kushuka bila wao kujua yaani, kimya kimya. UKWELI AMBAO NIWACHACHE WANAUJUA, Mafanikio hayakuji kwako kwa bahati mbaya. Yalikuja kwa sababu ya vitu fulani ulivyofanya. Yamkini huenda; Ulijituma sana, Ulijinyima, Ulijifunza, Uliomba sana, ulisave sana, Ulijitoa zaidi kuliko wengine, Ulivumilia wakati mgumu. 👉 Hiyo ndiyo “formula” yako ya mafanikio. Lakini shida inaanza pale unapopata mafanikio walau kidogo, halafu ghafula unaanza kubadilika. UNAPOSAHAU KILICHOKULIPA, UNAPOTEZA MWELEKEO WAKO. Watu wengi wakianza kuona matokeo: Wanaacha nidhamu, Wanaacha kujifunza, Wanaanza kujiamini kupita kiasi, Wanasahau kujituma, Wanaanza maisha ya anasa mapema sana. Kisa wameona matokeo kidogo tu. Namatokeo yake,...

PANDE ZA MAFANIKIO

Image
  PANDE ZA MAFANIKIO Mara nyingi MAFANIKIO huwa ni hitaji la Kila mtu. Na hii huwa imebeba sehemu mbili muhimu. 1. SEHEMU YA KWANZA NI UPANDE WA MBELE( FRONT PART). Sehemu hii huonyesha  jambo hili kuwa ni zuri na ni jambo la kutamanika, kufurahiwa, na mengine kama hayo. Huu unaonekana kwa macho ya nyama. Na watu hujua na kutoa sifa kemukemu. Na huonekana  huleta hamasa, furaha, umaarufu, uhuru, heshima n.k Siku zote watu waliofanikiwa na mafanikio yenyewe huonekana ni easy sana. Na watu hulielezea Kwa urahisi naMSINGI WA NPGUVU YA MAFANIKIO. wa hali ya juu sana.  Utasikia alienda secondary, akaenda chuo akawa bilionea, mara utasikia alianzisha biashara saivi ni mkurugenzi, alikuwa masikini akapewa mtaji saivi ni milionea. Hapa mifano ni mingi sana. 2. SEHEMU YA PILI NI UPANDE WA NYUMA (BACK PART). Upande huu mara nyingi hauonekani haraka. Watu wengi husahau kabisa kuuangalia na kuusemea. Yaani chini ya kapeti namaanisha nyuma ya mafanikio... Rafiki hii ni sehemu ya ...

Popular posts from this blog

UKIJUA HILI KUHUSU WATU UTAFANIKIWA SANA.

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.