Posts

Showing posts from February, 2026

HUWEZI KUBADILIKA BILA KUJITAMBUA.

Image
HUWEZI KUBADILIKA BILA KUJITAMBUA. Watu wengi hutamani kubadilisha maisha ya tabia, kipato, mahusiano, au jinsi wanavyojiona. Wengine husoma vitabu, huhudhuria semina, na kuweka malengo mapya kila mwaka. Lakini, pamoja na juhudi zote hizo, hujikuta wakirudia hali ileile. Sababu si kukosa bidii, no. Mara nyingi ni kukosa #KUJIJUA wao kama wao. Kujiboresha bila kujitambua ni kama kujenga bila ramani. Unapojaribu kubadilika bila kuelewa wewe ni nani, unaishia kuiga maisha ya wengine tu. Utaweka malengo yasiyoendana na hali yako, uwezo wako, au hali yako ya ndani. Ndiyo maana baadhi ya malengo huonekana mazuri kwa macho ya watu, lakini moyoni hayana uzito wowote. Unapoanza kuchoka haraka, si uvivu tu, wakati mwingine ni ishara kwamba njia uliyopo siyo yako. Kujitambua kunahitaji ujasiri wa kukubali ukweli kuhusu wewe. #Kujitambua siyo kujipongeza kila wakati. Ni kukubali ukweli wote mtamu na mchungu. Ni kuona #NGUVU zako bila kiburi, na #UDHAIFU wako bila kujilaumu.  Ni kujiuliza maswa...

HUWEZI KUBADILIKA BILA KUJITAMBUA.

Image
HUWEZI KUBADILIKA BILA KUJITAMBUA. Watu wengi hutamani kubadilisha maisha ya tabia, kipato, mahusiano, au jinsi wanavyojiona. Wengine husoma vitabu, huhudhuria semina, na kuweka malengo mapya kila mwaka. Lakini, pamoja na juhudi zote hizo, hujikuta wakirudia hali ileile. Sababu si kukosa bidii, no. Mara nyingi ni kukosa #KUJIJUA wao kama wao. Kujiboresha bila kujitambua ni kama kujenga bila ramani. Unapojaribu kubadilika bila kuelewa wewe ni nani, unaishia kuiga maisha ya wengine tu. Utaweka malengo yasiyoendana na hali yako, uwezo wako, au hali yako ya ndani. Ndiyo maana baadhi ya malengo huonekana mazuri kwa macho ya watu, lakini moyoni hayana uzito wowote. Unapoanza kuchoka haraka, si uvivu tu, wakati mwingine ni ishara kwamba njia uliyopo siyo yako. Kujitambua kunahitaji ujasiri wa kukubali ukweli kuhusu wewe. #Kujitambua siyo kujipongeza kila wakati. Ni kukubali ukweli wote mtamu na mchungu. Ni kuona #NGUVU zako bila kiburi, na #UDHAIFU wako bila kujilaumu.  Ni kujiuliza maswa...

Popular posts from this blog

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.

HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31