HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31

Image
  HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 31 Ilipoishia………. Elvine alipoteza amani kuliko hata mkewe maana kila alipomtazama mkewe basi moyo wake ni kama ulikuwa unachomwa na mwiba uliojishikiza huko kwenye mishipa ya moyo. Nafsi yake ilitaabika na ndipo alipoamua kutafuta muda mzuri, baada ya chakula cha jioni, azungumze na mkewe, maana ule ukimya wa siku mbili ulikuwa adhabu kubwa sana kwake. Kusoma sehemu ya 30 bonyeza hapa Sasa inaendelea………. Elimina mamy naomba kujua kwanini hutaki kuniuliza kuhusu sababu ya haya yote? Maana najua unajua kuwa kuna mahali mimi nilikosea, sasa unapokaa kimya hivyo… kiukweli unazidi kunichanganya maana ni kama hutaki kujua, sasa unadhani mimi roho yangu itatulia kweli?. Hata kama ungekuwa wewe lazima usingepata amani, ungekuwa hata unawaza hivi nakuwaziaje, nakuonaje na ninajisikiaje ninapokuona, sasa kwanini wewe umekaa kimya, sema neno tafadhali? (Elvine alikuwa akiongea bila kumtazama mkewe usoni maana moyo wake haukuwa katika hali ya utulivu). Pamoja na ...

THANK DIFFERENT (FIKIRI TOFAUTI).

 


*THINK DIFFERENT"  (FIKIRI TOFAUTI)* .

Ilikuwa kampeni kali na ya kuvutia iliyozinduliwa na Apple Computer ( Apple ) mnamo 1997.

Kama ulikuwa umezaliwa tupungianeđź«·

Ilidumu kwa miaka kadhaa na bado inachukua hatamu katika historia ya uuzaji na utangazaji. 

Think Different"  ilikuwa na mafanikio makubwa.

Ilisaidia Apple kujionyesha kama chapa kwa ajili ya watu wenye *UBUNIFU,* na wanaofikiri tofauti. kampuni iliyounga mkono ubunifu na kutofuatana na desturi za kawaida.

Kampeni hiyo haikuzidisha mauzo tu bali pia ili kuza picha ya Apple kama chapa nzuri na inayotamaniwa na wengi.

Hata wewe ni shahidi tukizungumza kuhusu, apple na huduma zake.

" *Think Different"*  ni zaidi ya maneno tu; ni *FALSAFA.* kali.

"Ni kuhusu umuhimu wa
kufikiri bila kutegemea Mwawzo ya wengine, kupinga hali ilivyo, na kuamini kuwa watu binafsi wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana duniani."

Rudia kusoma tena.

Ndugu, kufikiri tofauti ni chanzo cha mabadiliko makubwa hapa duniani.

Pengine upo ulipo sasa, jinsi ulivyo, kipato unachokipata, matokeo unayoyapata ni kwa sababu ya *UNAVYO FIKIRI.*

Niyo kwasababu ya fikira zako.

Kama tunavyofahamu Kuna mawazo fulani fulani ulikuwa nayo ndiyo yalikufikisha ulipo.

Hautaenda unakotaka kwenda, kwasababu ya vile ulivyofanya, bali ni vile utakavyofanya. Yaani, fikira tofauti kabisaa.

Tafadhali soma tena.

Ndiyo maana bwana Enstern aliwahi kusema, "hauwezi kupata matokeo unayoyataka kwa fikira zilezile zilizo kufanya upate matokeo hayo."

Ndugu utahitaji fikira tofauti.

Tuna pata fikira tofauti kwa kufanya mambo Kama

1. *Kujifunza vitu vipya*


Moja ya tofauti kubwa ya watu waliofanikiwa na watu wa kawaida ni kwamba, watu waliofanikiwa *wanatabia ya kujifunza bila kukoma*

Yes kujifunza.

Sasa wanajifunza nini na wanajifunzaje?

Simple, Wanajifunza vitu vipya kuhusu vitu, walivyovichagua, wanavyovipenda, mhimu kwao n.k.

Na wanafanya hivyo kwa;
1. kusoma vitabu, yaani kujisomea.

2. Kuhuzuria seminar, mara ya mwisho kwenda seminar unakumbuka Ilikuwa lini? Na ulifata nini?


      
       Hudhuria seminar hadi uone matokeo unayo yataka yameanza kuja.

3. Kuangalia video za maana na kusikiliza mafundisho kuntu.

Hii ni moja ya njia muhimu kati ya nyingi zitakazo kufanya ujifunze kila siku na kufikiri tofauti.

Ukweli ni kwamba zipo njia nyingi sana, ambazo ningependa ujifunze na wewe.

Muda ni mchache kuyaelezea yote haya.

Lakini kama utataka kujifunza njia nyingine kibao. Naweza kikusaidia.

Kupata hizo bonyeza Link hapo chini.

Bonyeza hapa kujifunza zaidi.

Migongo Elias.

Add Value Network.

GeT tO tHe NeXt LeVeL.

+255767653697.

Popular posts from this blog

MAAJABU YA AKIBA

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 29

UCHAMBUZI WA KINA HATIMA YA KIMUNGU SEHEMU YA 27.