MAAJABU YA AKIBA

Image
MAAJABU YA AKIBA Akiba (saving) ni kiasi cha fedha au rasilimali ambacho kimewekwa kwa matumizi ya baadaye, hata sasa kingeweza kutumika lakini umuhimu wake kwa kutumika baadaye ni mkubwa kuliko matumizi yake ya sasa. Hata katika biblia ``Mwanzo 41:35-36`` kama umewahi soma utaona Farao baada ya kutafsiriwa ndoto yake na kufahamu kuwa, imempasa kuweka akiba alilifanya hilo kwa uharaka ili kuhakikisha linaendelea vizuri ndio akamweka Yusufu kama msimamizi wa hili. Farao aliona kabisa kuwa nidhamu yake ya kujiwekea akiba haipo sawa hivo alihitaji msaidizi wa kumsaidia kama yeye alivyokuwa ndivyo tulivyo baadhi yetu siku za leo hatuwezi kujiwekea akiba ya vile tulivyo navyo. yaani huwa tunapenda kusema kesho itajisumbukia yenyewe,  Hata hivyo tangu zamani hata leo mataifa mbalimbali yamekuwa yakijiwekea akiba kwa manufaa na matumizi ya baadaye. Ukiangalia nabii Samweli alikuwa akijiwekea akiba na aliitoa pale Sauli alipomtembelea wakaila ile akiba ya chakula. Ni muhimu kujiw...

THANK DIFFERENT (FIKIRI TOFAUTI).

 


*THINK DIFFERENT"  (FIKIRI TOFAUTI)* .

Ilikuwa kampeni kali na ya kuvutia iliyozinduliwa na Apple Computer ( Apple ) mnamo 1997.

Kama ulikuwa umezaliwa tupungiane🫷

Ilidumu kwa miaka kadhaa na bado inachukua hatamu katika historia ya uuzaji na utangazaji. 

Think Different"  ilikuwa na mafanikio makubwa.

Ilisaidia Apple kujionyesha kama chapa kwa ajili ya watu wenye *UBUNIFU,* na wanaofikiri tofauti. kampuni iliyounga mkono ubunifu na kutofuatana na desturi za kawaida.

Kampeni hiyo haikuzidisha mauzo tu bali pia ili kuza picha ya Apple kama chapa nzuri na inayotamaniwa na wengi.

Hata wewe ni shahidi tukizungumza kuhusu, apple na huduma zake.

" *Think Different"*  ni zaidi ya maneno tu; ni *FALSAFA.* kali.

"Ni kuhusu umuhimu wa
kufikiri bila kutegemea Mwawzo ya wengine, kupinga hali ilivyo, na kuamini kuwa watu binafsi wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana duniani."

Rudia kusoma tena.

Ndugu, kufikiri tofauti ni chanzo cha mabadiliko makubwa hapa duniani.

Pengine upo ulipo sasa, jinsi ulivyo, kipato unachokipata, matokeo unayoyapata ni kwa sababu ya *UNAVYO FIKIRI.*

Niyo kwasababu ya fikira zako.

Kama tunavyofahamu Kuna mawazo fulani fulani ulikuwa nayo ndiyo yalikufikisha ulipo.

Hautaenda unakotaka kwenda, kwasababu ya vile ulivyofanya, bali ni vile utakavyofanya. Yaani, fikira tofauti kabisaa.

Tafadhali soma tena.

Ndiyo maana bwana Enstern aliwahi kusema, "hauwezi kupata matokeo unayoyataka kwa fikira zilezile zilizo kufanya upate matokeo hayo."

Ndugu utahitaji fikira tofauti.

Tuna pata fikira tofauti kwa kufanya mambo Kama

1. *Kujifunza vitu vipya*


Moja ya tofauti kubwa ya watu waliofanikiwa na watu wa kawaida ni kwamba, watu waliofanikiwa *wanatabia ya kujifunza bila kukoma*

Yes kujifunza.

Sasa wanajifunza nini na wanajifunzaje?

Simple, Wanajifunza vitu vipya kuhusu vitu, walivyovichagua, wanavyovipenda, mhimu kwao n.k.

Na wanafanya hivyo kwa;
1. kusoma vitabu, yaani kujisomea.

2. Kuhuzuria seminar, mara ya mwisho kwenda seminar unakumbuka Ilikuwa lini? Na ulifata nini?


      
       Hudhuria seminar hadi uone matokeo unayo yataka yameanza kuja.

3. Kuangalia video za maana na kusikiliza mafundisho kuntu.

Hii ni moja ya njia muhimu kati ya nyingi zitakazo kufanya ujifunze kila siku na kufikiri tofauti.

Ukweli ni kwamba zipo njia nyingi sana, ambazo ningependa ujifunze na wewe.

Muda ni mchache kuyaelezea yote haya.

Lakini kama utataka kujifunza njia nyingine kibao. Naweza kikusaidia.

Kupata hizo bonyeza Link hapo chini.

Bonyeza hapa kujifunza zaidi.

Migongo Elias.

Add Value Network.

GeT tO tHe NeXt LeVeL.

+255767653697.

Comments

Loading... Logging you in...
  • Logged in as
There are no comments posted yet. Be the first one!

Post a new comment

Comments by

Popular posts from this blog

NJIA 7 ZA KUOSHA UBONGO WAKO.

VITU 9 MUHIMU KWA MTU YEYOTE KUJIFUNZA KWENYE MAHAFALI.

SIRI ILIYOPO NYUMA YA TABASAMU.